Habari na Matukio

MAFUNZO YA KISWAHILI KWA WAGENI

Published

on

BARAZA LA KISWAHILI LA TAIFA (BAKITA) LINATOA MAFUNZO YA KUIMARISHA STADI ZA KUFUNDISHA KISWAHILI KWA WAGENI SAMBAMBA NA KUTAMBUA RASMI WALIMU WA KISWAHILI KWA WAGENI. MAFUNZO HAYA NI ENDELEVU, NA YANAFANYIKA DAR ES SALAAM NA KATIKA MIKOA KWA RATIBA IFUATAYO;
1. ARUSHA
KUANZIA: MEI 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA:
I. Ndugu. NELSON MHADHIRI WA CHUO KIKUU CHA ARUSHA
SIMU: 0752495167
2. MOROGORO
KUANZIA: APRILI 22 -26/ 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
I. ZAKIA ISMAIL KIMVULE
SIMU: 0712466673
3. MWANZA (AWAMU YA 2)
KUANZIA: MEI 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
I. ZAKARIA EMMANUEL
SIMU: 0755350165
4. MBEYA (AWAMU YA 2)
KUANZIA: JUNI 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
I.EDMUND MWANDEMELE
SIMU: 0756390305
5. IRINGA
KUANZIA: APRILI 15 – 19/ 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
I. LUCAS CHUNGA
SIMU: 0745108144
6. KILIMANJARO
KUANZIA: MEI 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
CHEDIEL MNJOKAVA
SIMU: 0786538223/0758754270
7. TANGA
KUANZIA: MEI 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
I. MWAJUMA SELEMAN MWL. WA SHULE YA SEKONDARI OLD TANGA
SIMU: 0713689868
8. LINDI
KUANZIA: JUNI 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
I. FURAHA WILLY
SIMU: 0789608252/ 0764546393
9. KAGERA
KUANZIA: JUNI 2019
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA NDUGU:
I. EPMACHIUS K. AUDAX
SIMU: 0766828028
II. CHRISTOM H. MAPUNDA
SIMU: 0764711735

LENGO: KUWEZESHA SERIKALI KUTAMBUA IDADI YA WATAALAMU WA KISWAHILI ILIYONAO NA KUWEZESHA UPATIKANAJI WAO PALE WANAPOHITAJIKA NDANI NA NJE YA NCHI. WASHIRIKI WOTE WA MAFUNZO HAYA WATAINGIZWA KWENYE KANZIDATA YA WATAALAMU WA KISWAHILI..
WAHUSIKA: WATAALAMU WA KISWAHILI WENYE ELIMU YA KUANZIA SHAHADA YA KWANZA HADI YA UZAMIVU.
ADA: SHILINGI LAKI MOJA NA ELFU ISHIRINI TU (120,000) KWA MIKOANI
MUDA WA MAFUNZO: WIKI MOJA
MALIPO: WASILIANA NA OFISI YETU YA UHASIBU BAKITA: 0757979611 ILI KUPATA BILI YA MALIPO.
“KISWAHILI UHAI WETU UTASHI WETU”
KARIBUNI SANA
Usikiapo tangazo hili mjulishe na mwenzako.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana na Baraza kwa:
Simu: +255 22 2762213 au +255 22 2762243
Simu ya mkononi: +255 783 544 441 au +255 754 578197
Baruapepe: Bakita@habari.go.tz

Trending

Exit mobile version