Tanzania emblem

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania


Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA)

Tanzania emblem

Dira na Dhima

1.0 Dira

Kuwa taasisi yenye nguvu kisheria, kifedha na kutambulika kitaifa na kimataifa katika kuratibu na kusimamia maendeleo ya lugha ya Kiswahili.


2.0 Dhima

Kukuza, kuendeleza na kuhimiza matumizi fasaha na sanifu ya Kiswahili ndani na nje ya nchi kwa kushirikiana na wadau wengine.