lbl_units
This Section will perform the following activities: -
- Collect and manage revenues;
- Undertake Bank reconciliation;
- Prepare Final Accounts and other Financial Statements;
- Bank cash and cheques;
- Pay cash/cheques to employees and service providers;
- Record/ reconcile all imprest issued;
- Reply to audit queries;
- Provide monthly, quarterly, half-yearly, and annual income and expenditure reports of the Council;
- Manage the preparation of all accounting records and ensure that they have been submitted to the respective place;
- Review and prepare financial regulations; and
Majukumu ya Kitengo hiki ni kama ifuatavyo:
- Kuandaa na kutekeleza mpango- mkakati wa TEHAMA;
- Kutoa ushauri kuhusu matumizi sahihi ya teknolojia zenye gharamu naafu;
- Kuandaa na kusimamia makavazi ya kielektroni kwa ajili ya kutunza nyaraka na kumbukumbu muhimu za Baraza;
- Kutoa huduma endelevu za msaada kwa watumiaji;
- Kuunda na kusimamia mifumo ya uhifadhi na urejeshaji wa data za Baraza;
- Kushirikiana na Wakala wa Serikali Mtandao ili kuhakikisha uzingatiaji wa sera, sheria na viwango vya TEHAMA serikalini,; na
- Kuandaa, kukusanya na kuhifadhi takwimu za Baraza
Majukumu ya kitengo hiki ni:
- Kuandaa mpango wa ukaguzi wa ndani wa Baraza ;
- Kuunda na kusimamia utekelezaji wa sera za ukaguzi wa ndani;
- Kupendekeza maboresho ya utendaji kazi wa ndani ya Baraza na
- Kufanya ukaguzi wa ndani katika maeneo yote ya shughuli za Baraza.
- Kushirikiana na Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali wakati wa ukaguzi;
- Kusimamia upatikanaji wa majibu ya hoja za ukaguzi.
Majukumu ya kitengo hiki ni:
- Kuandaa na kutekeleza mipango ya mwaka ya ununuzi na ugavi. ;
- Kusimamia utekelezaji wa sheria na kanuni za ununuzi na ugavi Serikalini;
- Kusimamia mchakato wa zabuni kwa kufuata taratibu zilizopo; na
- Kutoa taarifa za ununuzi za vipindi mbalimbali ; na
- Kuandaa orodha ya vifaa vya ofisi.
Majukumu ya kitengo hiki ni kama ifuatavyo:
- Kuanzisha na kutekeleza mikakati ya masoko;
- Kutangaza na kuuzabidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na Baraza;
- Kuhifadhi kumbukumbu za matukio yote ya Baraza;
- Kupitia na kuhuisha taarifa katika tovuti na majukwaa ya mitandao yote ya kijamii;
- Kupokea maswali, maombi na maoni kutoka kwa wadau mbalimbali; na
- Kufanya utafiti wa masoko ya bidhaa na huduma zinazotolewa na Baraza.
Majukumu ya kitengo hiki ni kama ifuatavyo:
- Kutunza kaseti, magazeti, video, na filamu za Kiswahili;
- Kuwasaidia watafiti na wanafunzi wa lugha ya Kiswahili;
- Kuandaa na kusimamia taarifa, sera na taratibu za maktaba; na
- Kuanzisha na kusimamia utumiaji wa Mfumo wa Taarifa za Maktaba pamoja na huduma zake.
